Matendo 27:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC42 Mpango wa askari ulikuwa kuwaua wafungwa, mtu asiogelee na kukimbia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 Wale askari wakapanga kuwaua wale wafungwa ili kuzuia hata mmoja wao asiogelee na kutoroka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 Wale askari wakapanga kuwaua wale wafungwa ili kuzuia hata mmoja wao asiogelee na kutoroka. Tazama sura |