Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 27:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Paulo akawaambia ofisa na askari, Hawa wasipokaa ndani ya merikebu hamtaweza kuokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Ndipo Paulo akamwambia yule jemadari na askari, “Hawa watu wasipobaki katika meli, hamtaweza kuokoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Ndipo Paulo akamwambia yule jemadari na askari, “Hawa watu wasipobaki katika meli, hamtaweza kuokoka.”

Tazama sura Nakili




Matendo 27:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Haya basi, nikupe shauri, tafadhali, upate kuiokoa roho yako, na roho ya mwanao Sulemani.


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


Lakini yule ofisa akawasikiliza nahodha na mwenye merikebu zaidi ya yale aliyoyasema Paulo.


Na baharia walipotaka kukimbia na kuiacha merikebu, wakiishusha mashua baharini kana kwamba wanataka kutupa nanga za omo,


Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.


nao waliosalia, hawa juu ya mbao na hawa juu ya vitu vingine vya merikebu. Na hivyo watu wote wakapata kuifikia nchi kavu salama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo