Matendo 26:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Kwa sababu ya hayo Wayahudi wakanikamata nikiwa ndani ya hekalu wakajaribu kuniua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa hekaluni, wakajaribu kuniua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa hekaluni, wakajaribu kuniua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa hekaluni, wakajaribu kuniua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Ni kwa sababu hii Wayahudi walinikamata nilipokuwa Hekaluni, wakataka kuniua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Ni kwa sababu hii Wayahudi walinikamata nilipokuwa Hekaluni, wakataka kuniua. Tazama sura |