Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 25:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Kwa maana naona ni neno lisilo maana kumpeleka mfungwa, bila kuonesha mashitaka yale aliyoshitakiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”

Tazama sura Nakili




Matendo 25:27
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?


Nami katika habari yake sina neno la hakika la kumwandikia bwana. Kwa hiyo nimemleta hapa mbele yenu, hasa mbele yako wewe, mfalme Agripa, ili akiisha kuhojiwa nipate neno la kuandika.


Agripa akamwambia Paulo, Una ruhusa kusema maneno yako. Ndipo Paulo akanyosha mkono wake, akajitetea,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo