Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 25:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Nami nikaona shaka jinsi ya kutafuta hakika ya habari hii, nikamwuliza kama anataka kwenda Yerusalemu ahukumiwe huko katika mambo haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kwa kuwa sikujua jinsi ya kupeleleza jambo hili, nilimuuliza kama angependa kwenda Yerusalemu na kuhojiwa huko kuhusu mashtaka haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa kuwa sikujua jinsi ya kupeleleza jambo hili, nilimuuliza kama angependa kwenda Yerusalemu na kuhojiwa huko kuhusu mashtaka haya.

Tazama sura Nakili




Matendo 25:20
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paulo, akisema, Je! Wataka kwenda Yerusalemu, ukahukumiwe huko mbele yangu kwa ajili ya mambo hayo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo