Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 25:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na wale waliomshitaki waliposimama hawakuleta neno lolote baya, kama nilivyodhani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Washtaki wake walipoinuka kuzungumza, hawakumshtaki kwa uhalifu wowote kama nilivyotarajia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Washtaki wake waliposimama, hawakushtaki kwa uhalifu wowote niliokuwa ninatarajia.

Tazama sura Nakili




Matendo 25:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akawaambia, Haya! Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa ile torati yenu! Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna ruhusa ya kuua mtu.


Na Paulo alipotaka kufunua kinywa chake, Galio akawaambia Wayahudi, Kama lingekuwa jambo la dhuluma au la hila mbaya, enyi Wayahudi, ingekuwa haki mimi kuchukuliana nanyi;


Basi walipokutanika hapa sikukawia; bali siku ya pili nikaketi katika kiti cha hukumu nikaamuru mtu huyo aletwe.


bali walikuwa na maswali tofauti tofauti juu yake katika dini yao wenyewe, na kuhusu mtu mmoja Yesu, aliyekuwa amekwisha kufa, ambaye Paulo alikazania kusema kuwa yuko hai.


Akasema, Wale walio na mamlaka kwenu na wateremke pamoja nami wakamshitaki, ikiwa liko neno baya katika mtu huyu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo