Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Basi, wale askari wakamchukua Paulo kama walivyoamriwa, wakampeleka hadi Antipatri usiku;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta hadi Antipatri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mimi nami ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.


Hata nilipopewa habari kwamba patakuwa na ghasia juu ya mtu huyu, mara nikamtuma kwako, nikawaagiza na wale waliomshitaki, wanene habari zake mbele yako. Wasalamu.


hata asubuhi wakawaacha wale wapanda farasi waende pamoja naye, nao wakarudi zao ngomeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo