Matendo 23:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Basi, wale askari wakamchukua Paulo kama walivyoamriwa, wakampeleka hadi Antipatri usiku; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta hadi Antipatri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta mpaka Antipatri. Tazama sura |