Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Akawaambia kuweka wanyama tayari wampandishe Paulo, na kumchukua salama kwa Feliki mtawala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Pia tayarisheni na farasi watakaotumiwa na Paulo, mkampeleke salama kwa mtawala Feliksi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Pia tayarisheni na farasi watakaotumiwa na Paulo, mkampeleke salama kwa mtawala Feliksi.”

Tazama sura Nakili




Matendo 23:24
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; wala sikumwambia mtu neno hili alilolitia Mungu wangu moyoni mwangu, nilitende kwa ajili ya Yerusalemu; wala hapakuwa na mnyama pamoja nami, ila mnyama yule niliyempanda mwenyewe.


siku moja, katika mikoa yote ya mfalme Ahasuero, yaani, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari.


wakamfunga, wakamchukua, wakampeleka kwa Pilato aliyekuwa mtawala.


akakaribia, akamfunga majeraha yake, akayatia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza.


Mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alipokuwa mtawala wa Yudea, na Herode mfalme wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania mfalme wa Abilene,


Akaandika barua, juu ya hili,


Klaudio Lisia kwa mtawala mtukufu Feliki, Salamu!


Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa mtawala ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.


Baada ya siku tano, Anania, Kuhani Mkuu, akateremka na baadhi ya wazee pamoja naye, na msemi mmoja, Tertulo, nao wakamweleza mtawala habari za Paulo.


Na mtawala alipompungia mkono ili anene, Paulo akajibu, Kwa kuwa ninajua ya kwamba wewe umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa muda wa miaka mingi, najitetea mwenyewe kwa moyo wa furaha.


basi tunayapokea kila wakati na kila mahali, kwa shukrani yote.


Na walipokaa huko siku kadhaa, Festo akamweleza mfalme habari za Paulo, akisema, Yupo hapa mtu mmoja aliyeachwa na Feliki kifungoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo