Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 22:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Walipokuwa wakipiga kelele na kutupa mavazi yao na kurusharusha mavumbi juu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Walipokuwa wakipiga kelele na kutoa mavazi yao huku wakirusha mavumbi juu hewani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Walipokuwa wakipiga kelele na kutoa mavazi yao huku wakirusha mavumbi juu hewani,

Tazama sura Nakili




Matendo 22:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaendelea njiani Daudi na watu wake; Shimei naye akaaendelea juu ya ubavu wa kile kilima, kwa kumkabili, huku akiendelea, akilaani, akimtupia mawe, na kurusha mavumbi.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


Na mara nyingi katika masinagogi yote niliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.


wakamtoa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyeitwa Sauli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo