Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 22:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Naye akaniambia, Nenda zako; kwa kuwa mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa Mataifa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Naye Bwana akaniambia, ‘Nenda; nitakutuma mbali kwa mataifa mengine.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Naye Bwana akaniambia, ‘Nenda; nitakutuma mbali kwa mataifa mengine.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Naye Bwana akaniambia, ‘Nenda; nitakutuma mbali kwa mataifa mengine.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Ndipo Bwana Isa akaniambia, ‘Nenda, kwa maana nitakutuma mbali, kwa watu wa Mataifa.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Ndipo Bwana Isa akaniambia, ‘Nenda, kwa maana nitakutuma mbali, kwa watu wa Mataifa.’ ”

Tazama sura Nakili




Matendo 22:21
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia.


Walipopingana naye na kumtukana Mungu, akakung'uta mavazi yake, akawaambia, Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu; mimi ni safi; tangu sasa nitakwenda kwa watu wa Mataifa.


Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.


ambaye katika yeye tulipokea neema na utume ili mataifa yote wapate kujitiisha kwa imani, kwa ajili ya jina lake;


Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo yangu,


ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, niifanyie Injili ya Mungu kazi ya ukuhani, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali, ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu.


ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii, ikajulikana na mataifa yote kama alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii Imani.


ya kwamba kwa kufunuliwa nilijulishwa siri hiyo, kama nilivyotangulia kuandika kwa maneno machache.


Nami kwa ajili ya huo niliwekwa niwe mhubiri na mtume, (nasema kweli, sisemi uongo), mwalimu wa Mataifa katika imani na kweli.


kwa ajili ya Injili hiyo niliwekwa niwe mhubiri, mtume na mwalimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo