Matendo 21:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Basi Paulo alipofika darajani ilikuwa kuchukuliwa na askari kwa sababu ya nguvu ya makutano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za umati ule wa watu zilikuwa kubwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa. Tazama sura |