Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 21:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Basi Paulo alipofika darajani ilikuwa kuchukuliwa na askari kwa sababu ya nguvu ya makutano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za umati ule wa watu zilikuwa kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Bwana, uwaangamize, uzivuruge ndimi zao, Maana nimeona dhuluma na fitina katika mji.


Sivyo! Mioyoni mwenu mnatenda maovu; Mikono yenu wenyewe inaeneza udhalimu katika nchi.


Maana nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya kuapa nchi inaomboleza; malisho ya nyikani yamekauka; mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si za haki.


Akamwambia mtunzaji wa shamba la mizabibu, Tazama, miaka mitatu hii nimekuja kutafuta matunda juu ya mtini huu, nisipate kitu; uukate, mbona hata nchi unaiharibu?


Basi, alipompa ruhusa, Paulo akasimama madarajani, akawapungia mkono wale wenyeji; na ilipokuwa kimya kabisa, akanena nao kwa lugha ya Kiebrania.


Lakini Lisia jemadari akafika akamwondoa mikononi mwetu kwa nguvu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo