Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 21:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Baada ya siku zile tukachukua vyombo vyetu tukapanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

na alipokwisha kushuka Kaisaria, akapanda juu, akawasalimu kanisa, kisha akateremka kwenda Antiokia.


Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paulo akaazimu rohoni mwake, akiisha kupita katika Makedonia na Akaya, aende Yerusalemu, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi pia.


Basi tuliposikia haya, sisi na watu wa mahali pale, tukamsihi asipande kwenda Yerusalemu.


Festo alipokwisha kuingia katika mkoa, baada ya siku tatu akapanda kwenda Yerusalemu kutoka Kaisaria.


Alipokwisha kukaa kwao siku nane au kumi si zaidi, akateremkia Kaisaria; na siku ya pili akaketi katika kiti cha hukumu akaamuru Paulo aletwe.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paulo, akisema, Je! Wataka kwenda Yerusalemu, ukahukumiwe huko mbele yangu kwa ajili ya mambo hayo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo