Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 21:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Basi tuliposikia haya, sisi na watu wa mahali pale, tukamsihi asipande kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Tuliposikia maneno haya sisi na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Tuliposikia maneno haya sisi na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na Asia,


Basi sasa, angalieni, nashika njia kwenda Yerusalemu nikiwa nimefungwa rohoni, nisiyajue mambo yatakayonikuta huko;


Baada ya siku zile tukachukua vyombo vyetu tukapanda kwenda Yerusalemu.


Tukiisha kuwaona wanafunzi tukakaa huko siku saba, nao wakamwambia Paulo kwa uweza wa Roho asipande kwenda Yerusalemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo