Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 19:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Kwa maana mmewaleta watu hawa, wasioiba vitu vya hekalu wala kumtukana mungu mke wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Kwa kuwa mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Kwa kuwa mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa kike.

Tazama sura Nakili




Matendo 19:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapasa kutulia; msifanye neno la haraka haraka.


Paulo akasema akijitetea, Mimi sikukosa neno juu ya sheria ya Wayahudi, wala juu ya hekalu, wala juu ya Kaisari.


Wewe usemaye kwamba mtu asizini, wazini mwenyewe? Wewe uchukiaye sanamu, wayaibia mahekalu?


Msiwakoseshe Wayahudi wala Wagiriki wala kanisa la Mungu,


Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo