Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 19:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hivyo neno la Bwana Isa likaenea sana na kuwa na nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hivyo neno la Bwana Isa likaenea sana na kuwa na nguvu.

Tazama sura Nakili




Matendo 19:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.


Neno la Bwana likazidi na kuenea.


Ndipo yule mtawala, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini, akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hata wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wagiriki.


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa kote kama ilivyo kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo