Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 wakisema Mtu huyu huwashawishi watu ili wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mwenyezi Mungu kinyume cha sheria.”

Tazama sura Nakili




Matendo 18:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


bali ikiwa ni hoja juu ya maneno na majina na sheria yenu, liangalieni ninyi wenyewe, maana mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo hayo.


Akatoa hoja zake katika sinagogi kila sabato, akajaribu kuwavuta Wayahudi na Wagiriki.


wakapiga kelele, na kusema, Enyi wanaume wa Israeli, tusaidieni. Huyu ndiye mtu yule afundishaye watu wote kila mahali kinyume cha taifa letu na torati na mahali hapa. Tena, zaidi ya haya, amewaingiza Wagiriki katika hekalu, akapatia unajisi mahali hapa patakatifu.


Paulo akasema akijitetea, Mimi sikukosa neno juu ya sheria ya Wayahudi, wala juu ya hekalu, wala juu ya Kaisari.


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo