Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 17:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Basi hivi Paulo akaondoka akawaacha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.

Tazama sura Nakili




Matendo 17:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi waliposikia habari za ufufuo wa wafu wengine walifanya dhihaka; wengine wakasema, Tutakusikiliza tena kuhusu habari hiyo.


Baadhi ya watu wakaungana naye, wakaamini; katika hao alikuwamo Dionisio, Mwareopago, na mwanamke mmoja jina lake Damari, na watu wengine pamoja na hao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo