Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Wakubwa wa askari wakawaambia mahakimu maneno haya; nao wakaogopa, waliposikia ya kwamba hao ni Warumi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia wa Roma, waliogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia wa Roma, waliogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia wa Roma, waliogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Wale maafisa wakarudi na kuwaambia wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raia wa Rumi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Wale maafisa wakarudi na kuwaambia wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raiya wa Rumi.

Tazama sura Nakili




Matendo 16:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona Yohana kuwa nabii.


Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.


Na watakapowapeleka ninyi mbele ya masinagogi na watawala na wenye mamlaka, msifadhaike kwa kuwaza maneno yenu jinsi mtakavyojibu au kusema;


Kulipopambazuka mahakimu wakawatuma wakubwa wa askari wakisema, Waacheni watu wale waende zao.


Basi wale waliokuwa tayari kumwuliza wakaondoka wakamwacha. Na yule jemadari naye akaogopa, alipojua ya kuwa ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo