Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 15:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:37
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa akifikiri haya akafika nyumbani kwa Mariamu, mamaye Yohana, ambaye jina lake la pili ni Marko; na watu wengi walikuwa wamekutana humo wakiomba.


Na Barnaba na Sauli, walipokwisha kutimiza huduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemu, wakamchukua pamoja nao Yohana aitwaye Marko.


Kisha Paulo na wenziwe wakang'oa nanga wakasafiri kutoka Pafo, wakafika Perge katika Pamfilia. Yohana akawaacha akarejea Yerusalemu.


Na walipokuwa katika Salami wakalihubiri neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi, nao walikuwa naye Yohana kuwa mtumishi wao.


Basi palitokea mashindano baina yao hata wakatengana. Barnaba akamchukua Marko akaabiri kwenda Kipro.


Aristarko, aliyefungwa pamoja nami, awasalimu; pamoja na Marko, binamu yake Barnaba, ambaye mmepokea maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni.


Luka peke yake yupo hapa pamoja nami. Umtwae Marko, umlete pamoja nawe, maana anifaa kwa utumishi.


na Marko, na Aristarko, na Dema, na Luka, watendao kazi pamoja nami.


Mwenzenu mteule hapa Babeli awasalimu, na Marko mwanangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo