Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 13:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Angalieni, basi, isiwajie habari ile iliyonenwa katika manabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:

Tazama sura Nakili




Matendo 13:40
13 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na mwujiza; na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa.


Lakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.


Angalieni, enyi mlio kati ya mataifa, katazameni, kastaajabuni sana; kwa maana mimi natenda tendo siku zenu, ambalo hamtaliamini hata mkiambiwa.


Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;


Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuri; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Imeandikwa katika manabii, Na wote watakuwa wamefundishwa na Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu.


Na maneno ya manabii yapatana na hayo, kama ilivyoandikwa,


Basi Mungu akaghairi, akawaacha ili waliabudu jeshi la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii, Je! Mlinitolea mimi dhabihu na sadaka Miaka arubaini katika jangwa, enyi nyumba ya Israeli?


Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;


sisi je! Tutapataje kupona, tukipuuza wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliomsikia;


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo