Matendo 13:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Basi, na ijulikane kwenu, ndugu zangu, ya kuwa kwa huyo mnahubiriwa msamaha wa dhambi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Kwa hiyo, jueni, ndugu zangu, kwamba kwa njia ya mtu huyu ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Kwa hiyo, jueni, ndugu zangu, kwamba kwa njia ya mtu huyu ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Kwa hiyo, jueni, ndugu zangu, kwamba kwa njia ya mtu huyu ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 “Kwa hiyo ndugu zangu, nataka ninyi mjue kwamba kupitia kwa huyu Isa msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 “Kwa hiyo ndugu zangu, nataka ninyi mjue kwamba kwa kupitia huyu Isa msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu. Tazama sura |