Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 13:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Lakini Mungu akamfufua katika wafu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:30
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; maana amefufuka kama alivyosema. Njooni, mpatazame mahali alipolazwa.


Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.


Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.


Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,


ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.


Tena ya kuwa alimfufua katika wafu, asipate kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitawapa ninyi mambo matakatifu ya Daudi yaliyo amini.


Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.


Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambaye Mungu amemfufua katika wafu; na sisi tu mashahidi wake.


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili kuwabariki kwa kumwepusha kila mmoja wenu na maovu yake.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo