Matendo 13:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Yohana alipokuwa amekwisha kuwahubiria watu wote wa Israeli habari za ubatizo wa toba, kabla ya kuja kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kabla ya kuja kwa Isa, Yahya alihubiri toba na ubatizo kwa watu wote wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kabla ya kuja kwa Isa, Yahya alihubiri toba na ubatizo kwa watu wote wa Israeli. Tazama sura |