Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kulipopambazuka askari wakaingiwa na fadhaa juu ya yaliyompata Petro.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura Nakili




Matendo 12:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, aliwahoji wale walinzi, akaamuru wauawe. Kisha akateremka kutoka Yudea kwenda Kaisaria, akakaa huko.


Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.


Wakati huo kukatokea ghasia si haba kuhusu Njia ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo