Matendo 11:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Nikasema, Hasha, Bwana, kwa maana kitu kilicho kichafu au kilicho najisi hakijawahi kuingia kinywani mwangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini mimi nikasema: ‘La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini mimi nikasema: ‘La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini mimi nikasema: ‘La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Nikajibu, ‘La hasha, Bwana! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Nikajibu, ‘La hasha, Bwana Mwenyezi! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’ Tazama sura |