Matendo 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Nikalikumbuka neno lile la Bwana, jinsi alivyosema, Yohana alibatiza kwa maji kweli, bali ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: ‘Yohane alibatiza kwa maji, lakini nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: ‘Yohane alibatiza kwa maji, lakini nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: ‘Yohane alibatiza kwa maji, lakini nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Nami nikakumbuka yale Bwana Isa aliyosema, ‘Yahya alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho wa Mungu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Nami nikakumbuka neno la Bwana Isa alivyosema, ‘Yahya alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho wa Mwenyezi Mungu.’ Tazama sura |