Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 10:48 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

48 Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadhaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Isa Al-Masihi. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Isa Al-Masihi. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.

Tazama sura Nakili




Matendo 10:48
9 Marejeleo ya Msalaba  

(lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake)


Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; naye akakaa huko siku mbili.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.


Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.


kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.


Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo