Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 10:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Kwa sababu hiyo nilikuja nilipoitwa, nisikatae; basi nawauliza, ni neno gani mliloniitia?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: Kwa nini mmeniita?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: Kwa nini mmeniita?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: kwa nini mmeniita?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”

Tazama sura Nakili




Matendo 10:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nilifanya haraka wala sikukawia, Kuyatii maagizo yako.


Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali kwa mtu aliye Myahudi ashirikiane na mtu wa taifa lingine wala kumtembelea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu yeyote mchafu wala najisi.


Kornelio akasema, Siku tatu zilizopita, katika saa ii hii, yaani saa tisa, nilikuwa nikisali nyumbani mwangu; nikamwona mtu amesimama mbele yangu, akiwa amevaa nguo zinazong'aa,


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo