Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Akatazama juu, akasema, Naona watu kama miti, inakwenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Yule kipofu akaangalia, akasema, “Ninaona watu, wanaonekana kama miti inayotembea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Yule kipofu akaangalia, akasema, “Ninaona watu, wanaonekana kama miti inayotembea.”

Tazama sura Nakili




Marko 8:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku hiyo viziwi watasikia maneno ya hicho kitabu, na macho ya vipofu yataona katika upofu na katika giza.


Tena macho yao waonao hayatakuwa na kiwi, na masikio yao wasikiao yatasikiliza.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Ndipo akaweka tena mikono yake juu ya macho yake, naye akatazama sana; akawa mzima, akaona vyote waziwazi.


Basi Gaali alipowaona hao watu, akamwambia Zebuli, Tazama, watu washuka kutoka katika vilele vya milima. Zebuli akamwambia, Ni kivuli cha milima unachokiona kama ndio watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo