Marko 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Nawahurumia mkutano kwa sababu yapata siku tatu wamekaa nami, wala hawana kitu cha kula; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Ninahurumia umati huu wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula. Tazama sura |