Marko 8:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.” Tazama sura |