Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 6:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

50 kwa kuwa wote walimwona, wakafadhaika. Mara akasema nao, akawaambia, Changamkeni; ni mimi, msiogope.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa. Mara Isa akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa. Mara Isa akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!”

Tazama sura Nakili




Marko 6:50
7 Marejeleo ya Msalaba  

Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Mara Yesu alinena, akawaambia, Jipeni moyo, ni mimi; msiogope.


Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Nao walipomwona anatembea juu ya bahari, walidhani ya kuwa ni mzuka, wakapiga yowe,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo