Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 4:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Kwa maana mwenye kitu atapewa, naye asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang'anywa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kwa maana kila mtu aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang’anywa.”

Tazama sura Nakili




Marko 4:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana yeyote mwenye kitu atapewa, naye atazidishiwa tele; lakini yeyote asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang'anywa.


Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi;


Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo