Marko 16:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Na alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walienda kaburini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini. Tazama sura |