Marko 12:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama sura |