Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 12:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzawa. Na wa tatu kadhalika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura Nakili




Marko 12:21
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.


hata na wote saba, wasiache mzawa. Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo