Marko 1:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Isa alipokuwa akitoka ndani ya maji, aliona mbingu zikifunguka na Roho wa Mungu akishuka juu yake kama hua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Isa alipokuwa akitoka ndani ya maji, aliona mbingu zikifunguka na Roho akishuka juu yake kama hua. Tazama sura |