Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.

Tazama sura Nakili




Luka 8:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.


Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.


Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo