Luka 8:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. Tazama sura |