Luka 6:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC46 Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia? Tazama sura |