Luka 6:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyekuwa msaliti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti. Tazama sura |