Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 21:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”

Tazama sura Nakili




Luka 21:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.


Msiseme, Ni njama, kuhusu mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni njama; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope.


Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;


Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu, kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia.


Akasema, Angalieni, msije mkadanganyika, kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye; tena, Majira yamekaribia. Basi msiwafuate hao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo