Luka 19:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Akaja wa kwanza, akasema, Bwana, fungu lako limeleta faida ya mafungu kumi zaidi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana, kutokana na fedha uliyoniachia, nimepata faida mara kumi zaidi.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana, kutokana na fedha uliyoniachia, nimepata faida mara kumi zaidi.’ Tazama sura |