Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Isa, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Isa, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili




Luka 17:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo