Luka 12:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC50 Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu hadi ubatizo huo ukamilike! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike! Tazama sura |