Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 9:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kwani ukikataa kuwapa ruhusa waende, na kuzidi kuwazuia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kama ukikataa kuwaacha waondoke na ukiendelea kuwashikilia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kama ukikataa kuwaacha waondoke na ukiendelea kuwashikilia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kama ukikataa kuwaacha waondoke na ukiendelea kuwashikilia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Usipowaachia waende, nawe ukiendelea kuwashikilia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kama ukikataa kuwaachia waende, nawe ukiendelea kuwashikilia,

Tazama sura Nakili




Kutoka 9:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, Mungu atakipasua kichwa cha adui zake, Utosi wenye nywele wa mtu afululizaye kukosa.


Au, kwamba wakataa kuwapa hao watu wangu ruhusa waende zao, tazama, kesho nitaleta nzige waingie ndani ya mipaka yako;


nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.


Hata baadaye, Musa na Haruni wakaenda wakamwambia Farao, wakasema, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Wape watu wangu ruhusa waende, ili kunifanyia sikukuu jangwani.


Tena kama ukikataa kuwapa ruhusa, tazama, nitaipiga mipaka yako yote kwa kuleta vyura;


BWANA akamwambia Musa, Ondoka asubuhi na mapema, ukasimame mbele ya Farao, umwambie, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema, Wape watu wangu ruhusa waende ili wanitumikie.


tazama, mkono wa BWANA uko juu ya wanyama wako wa mifugo walioko kondeni, juu ya farasi, na juu ya punda, na juu ya ngamia, na juu ya ng'ombe, na juu ya kondoo; kutakuwa na tauni nzito sana.


bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya.


na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu;


Wanadamu wakaunguzwa na joto kali, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo