Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 8:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 BWANA akafanya; wakaja inzi wengi kwa uzito sana, wakaingia nyumbani mwa Farao, na katika nyumba za watumishi wake, tena katika nchi yote ya Misri; nayo nchi iliharibiwa na wale inzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Mwenyezi-Mungu akafanya kama alivyosema: Makundi makubwa ya nzi yakaivamia nyumba ya Farao, nyumba za maofisa wake na nchi nzima ya Misri. Nchi nzima ya Misri ikaharibiwa na nzi hao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Mwenyezi-Mungu akafanya kama alivyosema: Makundi makubwa ya nzi yakaivamia nyumba ya Farao, nyumba za maofisa wake na nchi nzima ya Misri. Nchi nzima ya Misri ikaharibiwa na nzi hao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Mwenyezi-Mungu akafanya kama alivyosema: makundi makubwa ya nzi yakaivamia nyumba ya Farao, nyumba za maofisa wake na nchi nzima ya Misri. Nchi nzima ya Misri ikaharibiwa na nzi hao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Naye Mwenyezi Mungu akafanya hivyo. Makundi makubwa ya inzi walimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na inzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Naye bwana akafanya hivyo. Makundi makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na mainzi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 8:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa katika nchi yao yote.


Aliwapelekea mainzi wakawala, Na vyura wakawaharibu.


Wakawakusanya marundo marundo; na nchi ikatoa uvundo.


Au kwamba huwapi ruhusa watu wangu, tazama, nitaleta inzi wengi sana juu yako wewe, na juu ya watumishi wako, na juu ya watu wako, nao wataingia ndani ya nyumba zako; na nyumba za Wamisri zitajawa na inzi wengi sana, na nchi nayo ambayo wa juu yake.


Nami nitatia mpaka kati ya watu wangu na watu wako; ishara hiyo italetwa kesho.


Kisha hao vyura watakwea juu yako wewe, na juu ya watu wako, na juu ya watumishi wako wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo