Kutoka 7:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Na hao samaki walio mtoni watakufa, na huo mto utatoa uvundo; nao Wamisri watachukizwa kuyanywa maji ya mtoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Samaki waliomo mtoni Nili watakufa, mto wote utanuka vibaya, na Wamisri watachukia kabisa kunywa maji yake.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Samaki waliomo mtoni Nili watakufa, mto wote utanuka vibaya, na Wamisri watachukia kabisa kunywa maji yake.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Samaki waliomo mtoni Nili watakufa, mto wote utanuka vibaya, na Wamisri watachukia kabisa kunywa maji yake.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Samaki walio katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya; Wamisri hawataweza kunywa maji yake.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’ ” Tazama sura |