Kutoka 7:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Moyo wa Farao ukawa ni mgumu asiwasikize; kama BWANA alivyonena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hata hivyo, moyo wa Farao bado ulibaki kuwa mgumu, wala hakuwasikiliza; ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hata hivyo, moyo wa Farao bado ulibaki kuwa mgumu, wala hakuwasikiliza; ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hata hivyo, moyo wa Farao bado ulibaki kuwa mgumu, wala hakuwasikiliza; ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Hata hivyo, moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Musa na Haruni, kama vile Mwenyezi Mungu alivyokuwa amesema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Musa na Haruni, sawasawa kama vile bwana alivyokuwa amesema. Tazama sura |