Kutoka 6:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Musa akanena mbele ya BWANA, Mimi ni mtu mwenye midomo isiyo tohara, Farao atanisikizaje? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Mimi sina ufasaha wa kuongea; Farao atanisikilizaje?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Mimi sina ufasaha wa kuongea; Farao atanisikilizaje?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Mimi sina ufasaha wa kuongea; Farao atanisikilizaje?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Lakini Musa akamwambia Mwenyezi Mungu, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Lakini Musa akamwambia bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?” Tazama sura |