Kutoka 6:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Ni hao walionena na Farao mfalme wa Misri ili wawatoe wana wa Israeli watoke Misri; hao ni Musa yeye yule, na Haruni yeye yule. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Ndio haohao Mose na Aroni walioongea na Farao, mfalme wa Misri, juu ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Ndio haohao Mose na Aroni walioongea na Farao, mfalme wa Misri, juu ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Ndio haohao Mose na Aroni walioongea na Farao, mfalme wa Misri, juu ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Hao ndio waliozungumza na Farao, mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Musa na huyo Haruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Musa na huyo Haruni. Tazama sura |